Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
12- Msimamizi wa kila kitu Asiyelala.
MAELEZO
Amejisimamia Mwenyewe na amewasimamia wengine wote. Amejisimamia Mwenyewe na hahitajii chochote. Yeye ni mkwasi wa yeyote na chochote. Amewasimamia wengine wote. Kila kitu ni chenye kumuhitajia na kila kitu kinahitajia kusimamiwa Naye (Subhaanahu wa Ta´ala). Lau Allaah asingelisimamia mbingu, ardhi na viumbe vyengine vyote, basi vingeliharibika na kuangamia. Lakini hata hivyo Allaah anavisimamia, anavihifadhi na kuvitunza kwa yale yanayowafaa. Kila kiumbe ni chenye kumuhitajia Yeye:
إِنَّ اللَّـهَ يُمْسِكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ أَن تَزُولَا ۚ وَلَئِن زَالَتَا إِنْ أَمْسَكَهُمَا مِنْ أَحَدٍ مِّن بَعْدِهِ
“Hakika Allaah anazuia mbingu na ardhi zisitoweke na zikitoweka, basi hakuna yeyote wa kuzishikilia baada Yake.”[1]
[1] 35:41
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 38-39
- Imechapishwa: 12/09/2019
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
12- Msimamizi wa kila kitu Asiyelala.
MAELEZO
Amejisimamia Mwenyewe na amewasimamia wengine wote. Amejisimamia Mwenyewe na hahitajii chochote. Yeye ni mkwasi wa yeyote na chochote. Amewasimamia wengine wote. Kila kitu ni chenye kumuhitajia na kila kitu kinahitajia kusimamiwa Naye (Subhaanahu wa Ta´ala). Lau Allaah asingelisimamia mbingu, ardhi na viumbe vyengine vyote, basi vingeliharibika na kuangamia. Lakini hata hivyo Allaah anavisimamia, anavihifadhi na kuvitunza kwa yale yanayowafaa. Kila kiumbe ni chenye kumuhitajia Yeye:
إِنَّ اللَّـهَ يُمْسِكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ أَن تَزُولَا ۚ وَلَئِن زَالَتَا إِنْ أَمْسَكَهُمَا مِنْ أَحَدٍ مِّن بَعْدِهِ
“Hakika Allaah anazuia mbingu na ardhi zisitoweke na zikitoweka, basi hakuna yeyote wa kuzishikilia baada Yake.”[1]
[1] 35:41
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 38-39
Imechapishwa: 12/09/2019
https://firqatunnajia.com/17-kila-kiumbe-kinamuhitajia-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)