15 – Sa´d bin Abiy Waqqaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia Sa´d bin Mu´aadh (Radhiya Allaahu ´anhumaa):
”Umewahukumu kwa hukumu ya Mfalme kutoka juu ya mbingu ya saba.”[1]
Swahiyh na ameipokea an-Nasaa´iy.
[1] Ameipokea pia al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa´ was-Swifaat”, uk. 420, na cheni ya wapokezi wake ni nzuri. Humo yuko Muhammad bin Swaalih at-Tammaar ambaye Haafidhw Ibn Hajar amesema juu yake:
”Ni mkweli anayekosea.”
adh-Dhahabiy amemtaja katika ”Miyzaan-ul-I´tidaal” ambapo ametaja makinzano ya maimamu juu yake. Hata hivyo Hadiyth ina nyingine inayoitia nguvu katika ´Alqamah bin Waqqaasw, pasi na Swahabah katika cheni ya wapokezi. Kwa mujibu wa ”Fath-ul-Baariy” ameipokea Ibn Ishaaq. Mtunzi ameitaja katika toleo la asili kupitia kwa Muhammad bin Maalik ambapo amesema kuwa kuna Swahabah anayekosekana katika cheni ya wapokezi. Hata hivyo Hadiyth imepokelewa katika al-Bukhaariy na Muslim kupitia kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) kwa kifupi.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 87
- Imechapishwa: 12/04/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
15 – Sa´d bin Abiy Waqqaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia Sa´d bin Mu´aadh (Radhiya Allaahu ´anhumaa):
”Umewahukumu kwa hukumu ya Mfalme kutoka juu ya mbingu ya saba.”[1]
Swahiyh na ameipokea an-Nasaa´iy.
[1] Ameipokea pia al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa´ was-Swifaat”, uk. 420, na cheni ya wapokezi wake ni nzuri. Humo yuko Muhammad bin Swaalih at-Tammaar ambaye Haafidhw Ibn Hajar amesema juu yake:
”Ni mkweli anayekosea.”
adh-Dhahabiy amemtaja katika ”Miyzaan-ul-I´tidaal” ambapo ametaja makinzano ya maimamu juu yake. Hata hivyo Hadiyth ina nyingine inayoitia nguvu katika ´Alqamah bin Waqqaasw, pasi na Swahabah katika cheni ya wapokezi. Kwa mujibu wa ”Fath-ul-Baariy” ameipokea Ibn Ishaaq. Mtunzi ameitaja katika toleo la asili kupitia kwa Muhammad bin Maalik ambapo amesema kuwa kuna Swahabah anayekosekana katika cheni ya wapokezi. Hata hivyo Hadiyth imepokelewa katika al-Bukhaariy na Muslim kupitia kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) kwa kifupi.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 87
Imechapishwa: 12/04/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/17-hukumu-ya-mfalme-kutoka-juu-ya-mbingu-ya-saba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)