[23] Ni wajibu kuwakata Ahl-ul-Bid´ah na wapotevu. Kama mfano wa Mushabbihah, Mujassimah, Ash´ariyyah, Mu´tazilah, Raafidhwah, Murji-ah, Qadariyyah, Jahmiyyah, Khawaarij, Saalimiyyah, Karraamiyyah na mapote mengine yaliyobaki yenye kusemwa vibaya.
[24] Hii ndio ´Aqiydah yangu na yale ninayomwabudu kwayo Mola wangu na ndio ambayo baba yangu amekufa juu yake – Allaah amrehemu.
- Muhusika: Imaam Abul-Husayn Muhammad bin Abiy Ya´laa al-Hanbaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-ul-I´tiqaad, uk. 43-47
- Imechapishwa: 27/02/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)