10 – Mwenye kuacha kulaani. Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoka kuelekea katika uwanja wa kuswali [swalah ya] Dhuhaa´ au [swalah ya] al-Fitwr kwenda kwa wanawake na kusema:
“Enyi kongamano la wanawake! Toeni swadaqah. Kwani hakika mimi nyinyi ndio wakazi wengi wa Motoni.” Tukasema: “Kwa nini, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Mnakithirisha laana na mnakufuru wema.”[1]
[1] al-Bukhaariy (01/405 ), (03/325), (04/191) na (05/266 – Fath), Muslim (889) na wengineo.
- Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 32-33
- Imechapishwa: 28/09/2022
10 – Mwenye kuacha kulaani. Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoka kuelekea katika uwanja wa kuswali [swalah ya] Dhuhaa´ au [swalah ya] al-Fitwr kwenda kwa wanawake na kusema:
“Enyi kongamano la wanawake! Toeni swadaqah. Kwani hakika mimi nyinyi ndio wakazi wengi wa Motoni.” Tukasema: “Kwa nini, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Mnakithirisha laana na mnakufuru wema.”[1]
[1] al-Bukhaariy (01/405 ), (03/325), (04/191) na (05/266 – Fath), Muslim (889) na wengineo.
Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 32-33
Imechapishwa: 28/09/2022
https://firqatunnajia.com/16-mke-mwema-halaani-na-hakufuru-wema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)