Swali 16: Je, inafaa kukata masharubu, nywele za kwapa, kucha na nywele za sehemu ya siri za maiti[1]?
Jibu: Imependekezwa kupunguza masharubu na kukata kucha zake. Kuhusu kunyoa nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani sijui kinachofahamisha juu uwekwaji Shari´ah wa mambo hayo. Bora ni kutofanya hivo. Kwa sababu ni kitu kilichojificha na si chenye kuonekana kama kucha na masharubu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/111-112).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 20
- Imechapishwa: 13/12/2021
Swali 16: Je, inafaa kukata masharubu, nywele za kwapa, kucha na nywele za sehemu ya siri za maiti[1]?
Jibu: Imependekezwa kupunguza masharubu na kukata kucha zake. Kuhusu kunyoa nywele za sehemu ya siri na nywele za kwapani sijui kinachofahamisha juu uwekwaji Shari´ah wa mambo hayo. Bora ni kutofanya hivo. Kwa sababu ni kitu kilichojificha na si chenye kuonekana kama kucha na masharubu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/111-112).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 20
Imechapishwa: 13/12/2021
https://firqatunnajia.com/16-kukata-masharubu-kucha-na-nywele-za-sehemu-ya-siri-za-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)