Swali: Tunaomba utubainishie baadhi ya adabu za funga zilizopendekezwa?
Jibu: Miongoni mwa adabu za funga zilizopendekezwa ni kuchelewesha daku kwa njia ya kwamba mtu amalize kula punde kidogo kabla ya kuchomoza alfajiri ya pili. Nyingine ni kuharakisha kukata swawm. Miongoni mwa mambo yaliyopendekezwa vilevile ni kumtaja Allaah, kusoma Qur-aan na matendo mengine mbalimbali ya kheri. Adabu kubwa zaidi ni kuhifadhi swalah ya Tarawiyh.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 21
- Imechapishwa: 24/03/2022
Swali: Tunaomba utubainishie baadhi ya adabu za funga zilizopendekezwa?
Jibu: Miongoni mwa adabu za funga zilizopendekezwa ni kuchelewesha daku kwa njia ya kwamba mtu amalize kula punde kidogo kabla ya kuchomoza alfajiri ya pili. Nyingine ni kuharakisha kukata swawm. Miongoni mwa mambo yaliyopendekezwa vilevile ni kumtaja Allaah, kusoma Qur-aan na matendo mengine mbalimbali ya kheri. Adabu kubwa zaidi ni kuhifadhi swalah ya Tarawiyh.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 21
Imechapishwa: 24/03/2022
https://firqatunnajia.com/16-baadhi-ya-adabu-za-funga-zilizopendekezwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)