Swali: Ni kwa kitu gani na ni lini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akila daku?
Jibu: Alikuwa akichelewesha daku yake na kitambo kilichokuwa kati ya kuanza kwa daku yake mpaka kukimiwa kwa swalah[1] ni kiasi cha kusoma Aayah 50. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Uzuri ulioje wa tende kama daku ya muumini!”[2]
[1] al-Bukhaariy (575).
[2] Abu Daawuud (2345). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (1/621).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 22
- Imechapishwa: 24/03/2022
Swali: Ni kwa kitu gani na ni lini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akila daku?
Jibu: Alikuwa akichelewesha daku yake na kitambo kilichokuwa kati ya kuanza kwa daku yake mpaka kukimiwa kwa swalah[1] ni kiasi cha kusoma Aayah 50. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Uzuri ulioje wa tende kama daku ya muumini!”[2]
[1] al-Bukhaariy (575).
[2] Abu Daawuud (2345). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (1/621).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 22
Imechapishwa: 24/03/2022
https://firqatunnajia.com/19-daku-ya-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)