Swali 15: Ni ipi hukumu iwapo mfungaji atapitikiwa na kula na kunywa kwa kusahau?
Jibu: Swawm haikatiki mfungaji akipitikiwa na kula na kunywa kwa kusahau. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kula na kunywa kwa kusahau ilihali amefunga, atimize swawm yake. Hakika si mwengine ni Allaah ndiye kamilisha na kumnywesha.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1933) na Muslim (1155).
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 31
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 15: Ni ipi hukumu iwapo mfungaji atapitikiwa na kula na kunywa kwa kusahau?
Jibu: Swawm haikatiki mfungaji akipitikiwa na kula na kunywa kwa kusahau. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kula na kunywa kwa kusahau ilihali amefunga, atimize swawm yake. Hakika si mwengine ni Allaah ndiye kamilisha na kumnywesha.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1933) na Muslim (1155).
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 31
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/15-ni-ipi-hukumu-mfungaji-kula-na-kunywa-kwa-kusahau/