9 – Hamuombi mume wake talaka pasi na sababu yenye kumpelekea kufanya hivo. Thawbaan (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke yeyote atakayemuomba mume wake talaka pasi na sababu, basi ni haramu kwake harufu ya Pepo.”[1]
[1] Abu Daawuud (2226), at-Tirmidhiy (1187) ambaye ameifanya kuwa ni nzuri, ad-Daarimiy (02/162), Ibn Maajah (2055) na wengineo. Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy kwa mujibu wa sharti za Muslim katika “al-Irwaa´” (07/100).
- Muhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 31-32
- Imechapishwa: 28/09/2022
9 – Hamuombi mume wake talaka pasi na sababu yenye kumpelekea kufanya hivo. Thawbaan (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke yeyote atakayemuomba mume wake talaka pasi na sababu, basi ni haramu kwake harufu ya Pepo.”[1]
[1] Abu Daawuud (2226), at-Tirmidhiy (1187) ambaye ameifanya kuwa ni nzuri, ad-Daarimiy (02/162), Ibn Maajah (2055) na wengineo. Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy kwa mujibu wa sharti za Muslim katika “al-Irwaa´” (07/100).
Muhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 31-32
Imechapishwa: 28/09/2022
https://firqatunnajia.com/15-mke-mwema-haombi-talaka-pasi-na-sababu-ya-kimsingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket