Mwandishi amemfananisha al-Albaaniy na Hasan at-Turaabiy[1] ambaye anaonelea umoja wa dini, anaona kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakulindwa na kukosea katika khabari zake za dunia, wakuu wa nchi wana haki ya kutunga sheria zao wenyewe, hukumu za Shari´ah zinatakiwa kufanywa upya kwa mujibu wa maendeleo ya mazingira yanavyopelekea na maoni yake mengine yaliyopinda yanayopelekea kufuru.
Kumfananisha al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) na at-Turaabiy ni uongo mkubwa na jinai mbaya kabisa ambayo haitakiwi kukubaliwa wala kuyanyamazia.
[1] Uk. 05
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 37
- Imechapishwa: 24/11/2018
Mwandishi amemfananisha al-Albaaniy na Hasan at-Turaabiy[1] ambaye anaonelea umoja wa dini, anaona kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakulindwa na kukosea katika khabari zake za dunia, wakuu wa nchi wana haki ya kutunga sheria zao wenyewe, hukumu za Shari´ah zinatakiwa kufanywa upya kwa mujibu wa maendeleo ya mazingira yanavyopelekea na maoni yake mengine yaliyopinda yanayopelekea kufuru.
Kumfananisha al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) na at-Turaabiy ni uongo mkubwa na jinai mbaya kabisa ambayo haitakiwi kukubaliwa wala kuyanyamazia.
[1] Uk. 05
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 37
Imechapishwa: 24/11/2018
https://firqatunnajia.com/15-kumfananisha-al-albaaniy-na-at-turaabiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)