Swali 15: Je, josho la janaba linatosheleza kutokamana na josho la ijumaa[1]?
Jibu: Ikiwa ni wakati wa mchana kunamtosha. Bora ni anuie yote mawili; josho la ijumaa na josho la janaba. Kwa njia hiyo atakuwa amepata fadhilah za josho la ijumaa – Allaah akitaka.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/406).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 54
- Imechapishwa: 27/11/2021
Swali 15: Je, josho la janaba linatosheleza kutokamana na josho la ijumaa[1]?
Jibu: Ikiwa ni wakati wa mchana kunamtosha. Bora ni anuie yote mawili; josho la ijumaa na josho la janaba. Kwa njia hiyo atakuwa amepata fadhilah za josho la ijumaa – Allaah akitaka.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/406).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 54
Imechapishwa: 27/11/2021
https://firqatunnajia.com/15-ibn-baaz-josho-la-janaba-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)