Ibn Jurayj ametamka wazi amehadithia kutoka kwa nani kwa ´Abdur-Razzaaq, kama ilivyo katika ”al-Ahkaam” ya ´Abdul-Haqq al-Ishbiyliy. Halafu nikaiona kwa ”al-Muswannaf” (2/198) ya ´Abdur-Razzaaq. Kwa hivyo ikaondoka kasoro na Hadiyth ikawa Swahiyh. ´Abdur-Razzaaq amesimulia kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr ambaye amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekaripia mtu kuuegemea mkono wake wa kushoto anapokuwa anakula.”[1]
Wapokezi wake ni wenye kuaminika, lakini kunakosekana wasimulizi kadhaa mfululizo katika cheni yake ya wapokezi. Hata hivyo inatiliwa nguvu na yenye kuenea yaliyotangulia – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Vilevile inatiliwa nguvu na Hadiyth ya Ibn ´Umar:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona bwana mmoja ameuegemea mkono wake wa kushoto ambapo akasema: ”Usiketi namna hiyo. Huo ni mkao wa wale wanaoadhibiwa.”
Ameipokea Ahmad (5972) kwa cheni ya wapokezi nzuri na Swahiyh.
[1] al-Muswannaf (10/415).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 196-197
- Imechapishwa: 21/11/2023
Ibn Jurayj ametamka wazi amehadithia kutoka kwa nani kwa ´Abdur-Razzaaq, kama ilivyo katika ”al-Ahkaam” ya ´Abdul-Haqq al-Ishbiyliy. Halafu nikaiona kwa ”al-Muswannaf” (2/198) ya ´Abdur-Razzaaq. Kwa hivyo ikaondoka kasoro na Hadiyth ikawa Swahiyh. ´Abdur-Razzaaq amesimulia kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr ambaye amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekaripia mtu kuuegemea mkono wake wa kushoto anapokuwa anakula.”[1]
Wapokezi wake ni wenye kuaminika, lakini kunakosekana wasimulizi kadhaa mfululizo katika cheni yake ya wapokezi. Hata hivyo inatiliwa nguvu na yenye kuenea yaliyotangulia – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Vilevile inatiliwa nguvu na Hadiyth ya Ibn ´Umar:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuona bwana mmoja ameuegemea mkono wake wa kushoto ambapo akasema: ”Usiketi namna hiyo. Huo ni mkao wa wale wanaoadhibiwa.”
Ameipokea Ahmad (5972) kwa cheni ya wapokezi nzuri na Swahiyh.
[1] al-Muswannaf (10/415).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 196-197
Imechapishwa: 21/11/2023
https://firqatunnajia.com/140-hivyo-huketi-wale-walioadhibiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)