14- Aliweka (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mkono wake wa kulia juu ya mkono wa kushoto[1].
Alisema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Sisi Mitume tumeamrishwa kuharakisha kukata swawm, kuchelewesha daku na kuweka mikono yetu ya kulia juu ya mikono yetu ya kushoto wakati wa swalah.”[2]
Alimpitia mtu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyekuwa anaswali ambaye alikuwa ameweka mkono wake wa kushoto juu ya mkono wa kulia, akaifungua na kuweka ule mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto.”[3]
[1] Muslim na Abuu Daawuud. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (352)
[2] Ibn Hibbaan na adh-Dhwiyaa’ kwa isnadi Swahiyh.
[3] Ahmad na Abuu Daawuud kwa isnadi Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 76
- Imechapishwa: 13/10/2016
14- Aliweka (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mkono wake wa kulia juu ya mkono wa kushoto[1].
Alisema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Sisi Mitume tumeamrishwa kuharakisha kukata swawm, kuchelewesha daku na kuweka mikono yetu ya kulia juu ya mikono yetu ya kushoto wakati wa swalah.”[2]
Alimpitia mtu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyekuwa anaswali ambaye alikuwa ameweka mkono wake wa kushoto juu ya mkono wa kulia, akaifungua na kuweka ule mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto.”[3]
[1] Muslim na Abuu Daawuud. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (352)
[2] Ibn Hibbaan na adh-Dhwiyaa’ kwa isnadi Swahiyh.
[3] Ahmad na Abuu Daawuud kwa isnadi Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 76
Imechapishwa: 13/10/2016
https://firqatunnajia.com/14-mkono-wa-kulia-unatakiwa-kuwekwa-juu-ya-wa-kushoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)