13- Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara akinyanyua mikono pamoja na Takbiyr[1], baada ya Takbiyr[2] na kabla ya Takbiyr[3].
Alikuwa akiinyanyua mikono kwa kuvinyoosha vidole (havitawanyi na wala havibanani)[4].
Alikuwa akiinyanyua usawa na mabega yake[5] na ilikuwa inaweza kutokea akiinyanyua usawa na ncha ya masikio yake[6].
[1] al-Bukhaariy na an-Nasaa’iy.
[2] al-Bukhaariy na an-Nasaa’iy.
[3] al-Bukhaariy na Abuu Daawuud.
[4] Abuu Daawuud, Ibn Khuzaymah (1/62-64), Tammaam na al-Haakim ambaye amesema kuwa ni Swahiyh na adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
[5] al-Bukhaariy na an-Nasaa’iy.
[6] al-Bukhaariy na Abuu Daawuud.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 76
- Imechapishwa: 13/10/2016
13- Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mara akinyanyua mikono pamoja na Takbiyr[1], baada ya Takbiyr[2] na kabla ya Takbiyr[3].
Alikuwa akiinyanyua mikono kwa kuvinyoosha vidole (havitawanyi na wala havibanani)[4].
Alikuwa akiinyanyua usawa na mabega yake[5] na ilikuwa inaweza kutokea akiinyanyua usawa na ncha ya masikio yake[6].
[1] al-Bukhaariy na an-Nasaa’iy.
[2] al-Bukhaariy na an-Nasaa’iy.
[3] al-Bukhaariy na Abuu Daawuud.
[4] Abuu Daawuud, Ibn Khuzaymah (1/62-64), Tammaam na al-Haakim ambaye amesema kuwa ni Swahiyh na adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
[5] al-Bukhaariy na an-Nasaa’iy.
[6] al-Bukhaariy na Abuu Daawuud.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 76
Imechapishwa: 13/10/2016
https://firqatunnajia.com/13-kunyanyua-mikono-wakati-wa-takbiyr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)