Tunatambua haki ya waarabu na kutangulia kwao. Tunawapenda kutokana na maneno yake Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kuwapenda waarabu ni imani, na kuwachukia ni unafiki.”[1]
Hatusemi kama wanavosema Shu´uubiyyah na watumwa wenye kudharauliwa ambao hawapendi waarabu na wala hawatambui ubora wao. Maoni yao ni uzushi na yanayoenda kinyume.
[1] at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” (2537). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (2683).
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 72
- Imechapishwa: 30/05/2022
Tunatambua haki ya waarabu na kutangulia kwao. Tunawapenda kutokana na maneno yake Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kuwapenda waarabu ni imani, na kuwachukia ni unafiki.”[1]
Hatusemi kama wanavosema Shu´uubiyyah na watumwa wenye kudharauliwa ambao hawapendi waarabu na wala hawatambui ubora wao. Maoni yao ni uzushi na yanayoenda kinyume.
[1] at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” (2537). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (2683).
Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 72
Imechapishwa: 30/05/2022
https://firqatunnajia.com/14-haki-ya-waarabu/