34 – Imaam Abu Bakr bin ´Ayyaash (a.f.k 194).
176 – Haafidhw Abu Haatim ar-Raaziy amesema: Nimemsikia ´Aliy bin Swaalih al-Anmaatwiy: Nimemsikia Abu Bakr bin ´Ayyaash akisema:
”Qur-aan ni maneno ya Allaah ambayo amemkabidhi Jibriyl, ambapo Jibriyl akamkabidhi nayo Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwake ndio imeanza na Kwake ndio itarudia.”[1]
177 – Imaam Abu Daawuud amesema: Hamzah bin Sa´iyd al-Marwaziy ametuhadithia: Nilimuuliza Abu Bakr bin ´Ayyaash, ambaye amesema:
”Yeyote mwenye kudai kuwa Qur-aan ni kiumbe kwa mtazamo wenu ni kafiri zandiki.”[2]
178 – Yahyaa al-Hammaaniy amesema: Abu Bakr bin ´Ayyaash amenihadithia:
”Usiku mmoja nilimwendea Zamzam na nikapewa ndoo ya maziwa na asali.”
179 – Abu Haashim ar-Rifaa´iy amesema: Nimemsikia Abu Bakr akisema:
“Viumbe vimegawanyika katika makundi manne: wenye kupewa udhuru, waliowepesishiwa, waliotenzwa nguvu na waliopotezwa. Wenye kupewa udhuru ni wanyama, waliowepesishiwa ni wanadamu, waliotenzwa nguvu ni Malaika na waliopotezwa ni Ibliys.”
[1] Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh.
[2] Masaa’il-ul-Imaam Ahmad, uk. 267. Cheni yake ya wapokezi ni nzuri.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 156-157
- Imechapishwa: 06/01/2025
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
34 – Imaam Abu Bakr bin ´Ayyaash (a.f.k 194).
176 – Haafidhw Abu Haatim ar-Raaziy amesema: Nimemsikia ´Aliy bin Swaalih al-Anmaatwiy: Nimemsikia Abu Bakr bin ´Ayyaash akisema:
”Qur-aan ni maneno ya Allaah ambayo amemkabidhi Jibriyl, ambapo Jibriyl akamkabidhi nayo Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwake ndio imeanza na Kwake ndio itarudia.”[1]
177 – Imaam Abu Daawuud amesema: Hamzah bin Sa´iyd al-Marwaziy ametuhadithia: Nilimuuliza Abu Bakr bin ´Ayyaash, ambaye amesema:
”Yeyote mwenye kudai kuwa Qur-aan ni kiumbe kwa mtazamo wenu ni kafiri zandiki.”[2]
178 – Yahyaa al-Hammaaniy amesema: Abu Bakr bin ´Ayyaash amenihadithia:
”Usiku mmoja nilimwendea Zamzam na nikapewa ndoo ya maziwa na asali.”
179 – Abu Haashim ar-Rifaa´iy amesema: Nimemsikia Abu Bakr akisema:
“Viumbe vimegawanyika katika makundi manne: wenye kupewa udhuru, waliowepesishiwa, waliotenzwa nguvu na waliopotezwa. Wenye kupewa udhuru ni wanyama, waliowepesishiwa ni wanadamu, waliotenzwa nguvu ni Malaika na waliopotezwa ni Ibliys.”
[1] Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh.
[2] Masaa’il-ul-Imaam Ahmad, uk. 267. Cheni yake ya wapokezi ni nzuri.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 156-157
Imechapishwa: 06/01/2025
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/135-kutoka-kwa-allaah-kwenda-kwa-jibriyl-kutoka-kwa-jibriyl-kwenda-kwa-muhammad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)