Swali: Je, inafaa kwa muislamu kutofunga akisafiri kwa ajili ya pikniki au sababu nyingine? Ni sharti zipi za safari ili ifae kula?
Jibu: Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Basi atakayeshuhudia miongoni mwenu mwezi mpya na afunge na atakayekuwa mgonjwa au safarini, basi atimize idadi katika masiku mengine.”[1]
Inafaa kwa muislamu kufungua katika Ramadhaan ikiwa masafa ya safari ni sawa na ile inayomruhusu yeye kufupisha swalah. Hahitaji kufunga katika Ramadhaan ikiwa safari imeruhusiwa na si safari ya maasi. Allaah anasema:
فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Basi atakayeshuhudia miongoni mwenu mwezi mpya na afunge na atakayekuwa mgonjwa au safarini, basi atimize idadi katika masiku mengine.”
[1] 02:185
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 20
- Imechapishwa: 20/03/2022
Swali: Je, inafaa kwa muislamu kutofunga akisafiri kwa ajili ya pikniki au sababu nyingine? Ni sharti zipi za safari ili ifae kula?
Jibu: Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Basi atakayeshuhudia miongoni mwenu mwezi mpya na afunge na atakayekuwa mgonjwa au safarini, basi atimize idadi katika masiku mengine.”[1]
Inafaa kwa muislamu kufungua katika Ramadhaan ikiwa masafa ya safari ni sawa na ile inayomruhusu yeye kufupisha swalah. Hahitaji kufunga katika Ramadhaan ikiwa safari imeruhusiwa na si safari ya maasi. Allaah anasema:
فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Basi atakayeshuhudia miongoni mwenu mwezi mpya na afunge na atakayekuwa mgonjwa au safarini, basi atimize idadi katika masiku mengine.”
[1] 02:185
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 20
Imechapishwa: 20/03/2022
https://firqatunnajia.com/13-hapa-ndipo-msafiri-hahitajii-kufunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)