2 – ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Nakutahadharisheni na nguo za watawa. Kwani hakika yule atakayezivaa, au akajifananisha nao, basi hatokamani na mimi.”[1]
[1] at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi nzuri, imekuja namna hiyo katika ”Fath-ul-Baariy”. Hata hivyo katika chapa hii nasema kuwa pengine Haafidhw Ibn Hajar anachomaanisha ni kuwa cheni ya wapokezi ni nzuri kupitia zingine. Hivi sasa nimepata mlolongo wa wapokezi wake na ikanibainikia kuwa ina kasoro kadhaa ambazo zinanilazimu kuidhoofisha. Kwa ajili hiyo Hadiyth hiyo hivi sasa inapatikana katika ”Silsilat-ul-Ahaadiyth adh-Dhwa´iyfah” (3234).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 184
- Imechapishwa: 13/11/2023
2 – ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Nakutahadharisheni na nguo za watawa. Kwani hakika yule atakayezivaa, au akajifananisha nao, basi hatokamani na mimi.”[1]
[1] at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi nzuri, imekuja namna hiyo katika ”Fath-ul-Baariy”. Hata hivyo katika chapa hii nasema kuwa pengine Haafidhw Ibn Hajar anachomaanisha ni kuwa cheni ya wapokezi ni nzuri kupitia zingine. Hivi sasa nimepata mlolongo wa wapokezi wake na ikanibainikia kuwa ina kasoro kadhaa ambazo zinanilazimu kuidhoofisha. Kwa ajili hiyo Hadiyth hiyo hivi sasa inapatikana katika ”Silsilat-ul-Ahaadiyth adh-Dhwa´iyfah” (3234).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 184
Imechapishwa: 13/11/2023
https://firqatunnajia.com/128-waislamu-hawavai-mavazi-kama-ya-watawa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)