Imaam Ibn Qudaamah (Rahimahu Allaah) amesema:
Kila mwenye kujiita kwa kitu kingine zaidi ya Uislamu na Sunnah ni mzushi, kama mfano wa Raafidhwah, Jahmiyyah, Khawaarij, Qadariyyah, Murji-ah, Mu´tazilah, Karraamiyyah, Kullaabiyyah na mfano wao – haya ni mapote ya upotevu na vipote vya Bid´ah, Allaah atukinge navyo.
MAELEZO
Ahl-ul-Bid´ah wanazo alama. Baadhi ya alama zao ni zifuatazo:
1 – Wanasifika kwa usiokuwa Uislamu na Sunnah kwa mambo waliyoyazua katika Bid´ah za kimaneno, kimatendo na za kiimani.
2 – Wanashabikia maoni yao. Hawarejei katika haki ijapo itawabainikia.
3 – Wanawachukia viongozi wa Uislamu na dini.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 161
- Imechapishwa: 20/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)