Imethibiti katika Hadiyth kuwa watu pia watapimwa. Kama mfano wa Hadiyth isemayo:

“Hakika siku ya Qiyaamah ataletwa mtu mkubwa na mnene na hatokuwa na uzito mbele ya Allaah sawa na ubawa wa mbu.”[1]

Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu muundi wa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh):

“Hakika [miundi yake] ni yenye uzito zaidi kwenye mizani kuliko ya mmoja wenu.”[2]

[1] al-Bukhaariy (4729) na Muslim (2785).

[2] Ahmad katika ”Musnad” yake (3991).

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Iymaan – Haqiyqatuhu wa Nawaaqidhwuh, uk. 20
  • Imechapishwa: 25/04/2023