26 – ´Abdullaah bin Yaziyd al-Muqriy’ ametuhadithia: Haywah ametuhadithia: Abu´Uthmaan al-Waliyd bin Abiyl-Waliyd amenihadithia, kutoka kwa ´Abdullaah bin Diynaar, kutoka kwa Ibn ´Umar, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Hakika wema bora kabisa ni mtu awaunge wale watu ambao baba yake alikuwa akiwapenda.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 124
- Imechapishwa: 05/01/2025
26 – ´Abdullaah bin Yaziyd al-Muqriy’ ametuhadithia: Haywah ametuhadithia: Abu´Uthmaan al-Waliyd bin Abiyl-Waliyd amenihadithia, kutoka kwa ´Abdullaah bin Diynaar, kutoka kwa Ibn ´Umar, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Hakika wema bora kabisa ni mtu awaunge wale watu ambao baba yake alikuwa akiwapenda.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 124
Imechapishwa: 05/01/2025
https://firqatunnajia.com/12-kuwatendea-wema-marafiki-zake-baba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)