25 – ´Abdullaah bin Swaalih ametuhadithia: al-Layth amenihadithia: Ibraahiym bin A´yan amenihadithia (´Abdullaah bin Swaalih amesema: “Nimeyasikia haya moja kwa moja kutoka kwa Ibraahiym”), kutoka kwa al-Hakam bin Abaan, kutoka kwa ´Ikrimah, kutoka kwa Ibn ´Abbaas, ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mzazi akimtazama mtoto wake na akafurahishwa naye, ni kama vile mtoto ameacha mtumwa huru.”[1]
[1] Cheni yake ya wapokezi ni nzuri kwa mujibu wa al-Haythamiy katika “Majma´-uz-Zawaa-id” (8/286)).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 123
- Imechapishwa: 05/01/2025
25 – ´Abdullaah bin Swaalih ametuhadithia: al-Layth amenihadithia: Ibraahiym bin A´yan amenihadithia (´Abdullaah bin Swaalih amesema: “Nimeyasikia haya moja kwa moja kutoka kwa Ibraahiym”), kutoka kwa al-Hakam bin Abaan, kutoka kwa ´Ikrimah, kutoka kwa Ibn ´Abbaas, ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mzazi akimtazama mtoto wake na akafurahishwa naye, ni kama vile mtoto ameacha mtumwa huru.”[1]
[1] Cheni yake ya wapokezi ni nzuri kwa mujibu wa al-Haythamiy katika “Majma´-uz-Zawaa-id” (8/286)).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 123
Imechapishwa: 05/01/2025
https://firqatunnajia.com/11-wazazi-kumtazama-mtoto-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)