Swali 12: Je, imeshurutishwa ili mtu aweze kupangusa juu ya soksi za ngozi zithibiti zenyewe?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba jambo hilo halikushurutishwa. Dalili zinazojulisha kufuta juu ya soksi za ngozi zimekuja kwa njia ya kuachia. Kizuizi kiko wapi muda wa kuwa zinamnufaisha na anaweza kutembea nazo? Pengine mtu huyu hana isipokuwa soksi za ngozi hizi peke yake. Huenda pia ni mgonjwa na asiyeweza kutikisika na amevaa soksi hizi ili kupata joto kidogo. Kwa hiyo hakuna dalili ya sharti hii.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/167-168)
- Imechapishwa: 05/05/2021
Swali 12: Je, imeshurutishwa ili mtu aweze kupangusa juu ya soksi za ngozi zithibiti zenyewe?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba jambo hilo halikushurutishwa. Dalili zinazojulisha kufuta juu ya soksi za ngozi zimekuja kwa njia ya kuachia. Kizuizi kiko wapi muda wa kuwa zinamnufaisha na anaweza kutembea nazo? Pengine mtu huyu hana isipokuwa soksi za ngozi hizi peke yake. Huenda pia ni mgonjwa na asiyeweza kutikisika na amevaa soksi hizi ili kupata joto kidogo. Kwa hiyo hakuna dalili ya sharti hii.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/167-168)
Imechapishwa: 05/05/2021
https://firqatunnajia.com/12-je-imeshurutishwa-ili-mtu-aweze-kupangusa-juu-ya-soksi-za-ngozi-zithibiti-zenyewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)