244 – Ibn Abiy Awfaa (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
إن خيارَ عبادِ اللهِ الذين يراعون الشمسَ والقمرَ والنجومَ لذكرِ الله
“Bora ya waja wa Allaah ni wale wenye kuliona jua, mwezi na nyota kwa lengo la kumtaja Allaah.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy na tamko ni lake, al-Bazzaar na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh.”
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/217)
- Imechapishwa: 01/03/2022
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
244 – Ibn Abiy Awfaa (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
إن خيارَ عبادِ اللهِ الذين يراعون الشمسَ والقمرَ والنجومَ لذكرِ الله
“Bora ya waja wa Allaah ni wale wenye kuliona jua, mwezi na nyota kwa lengo la kumtaja Allaah.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy na tamko ni lake, al-Bazzaar na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh.”
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/217)
Imechapishwa: 01/03/2022
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/12-hadiyth-bora-ya-waja-wa-allaah-ni-wale/