4- Harufu ya mfungaji ni nzuri zaidi mbele ya Allaah kuliko harufu ya miski kwa sababu imetokana na athari ya funga. Kwa hiyo ndio maana ikawa ni nzuri zaidi mbele Yake (Subhaanah) na yenye kupendwa Kwake. Hii ni dalili juu ya utukufu wa jambo la swawm mbele ya Allaah kiasi cha kwamba kitu chenye kuchukizwa na kibaya mbele ya watu kinakuwa ni chenye kupendwa na kizuri mbele ya Allaah kwa sababu kimetokana na kumtii kwa kufunga.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 16
- Imechapishwa: 08/04/2020
4- Harufu ya mfungaji ni nzuri zaidi mbele ya Allaah kuliko harufu ya miski kwa sababu imetokana na athari ya funga. Kwa hiyo ndio maana ikawa ni nzuri zaidi mbele Yake (Subhaanah) na yenye kupendwa Kwake. Hii ni dalili juu ya utukufu wa jambo la swawm mbele ya Allaah kiasi cha kwamba kitu chenye kuchukizwa na kibaya mbele ya watu kinakuwa ni chenye kupendwa na kizuri mbele ya Allaah kwa sababu kimetokana na kumtii kwa kufunga.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 16
Imechapishwa: 08/04/2020
https://firqatunnajia.com/12-fadhilah-ya-nne-ya-funga-harufu-ya-mfungaji-inapendwa-zaidi-na-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)