Mazishi
1 – Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Tunazika kwenye mwanandani na watu wa Kitabu wanazika moja kwa moja kwenye shimo.”[1]
[1] at-Twahaawiy katika ”Mushkil-ul-Aathaar”, Ahmad, Ibn Sa´d na wengineo. Imepokelewa pia kutoka kwa ´Abbaas. Nimezungumzia njia zake na kubainisha yaliyosemwa juu yake katika ”Naqdu Kitaab-it-Taaj” (299). Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
”Imepokelewa kupitia njia nyingi ambazo ni zenye ulaini. Lakini zinasadikishana. Hadiyth inazindua kuwa tunatakiwa kujifautisha na watu wa Kitabu hata katika jambo la kumuweka maiti ndani ya kaburi.” (Iqtidhwaa’-us-Swiraat al-Mustaqiym, uk. 33)
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 175-176
- Imechapishwa: 06/11/2023
Mazishi
1 – Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Tunazika kwenye mwanandani na watu wa Kitabu wanazika moja kwa moja kwenye shimo.”[1]
[1] at-Twahaawiy katika ”Mushkil-ul-Aathaar”, Ahmad, Ibn Sa´d na wengineo. Imepokelewa pia kutoka kwa ´Abbaas. Nimezungumzia njia zake na kubainisha yaliyosemwa juu yake katika ”Naqdu Kitaab-it-Taaj” (299). Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
”Imepokelewa kupitia njia nyingi ambazo ni zenye ulaini. Lakini zinasadikishana. Hadiyth inazindua kuwa tunatakiwa kujifautisha na watu wa Kitabu hata katika jambo la kumuweka maiti ndani ya kaburi.” (Iqtidhwaa’-us-Swiraat al-Mustaqiym, uk. 33)
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 175-176
Imechapishwa: 06/11/2023
https://firqatunnajia.com/118-waislamu-wanazikwa-namna-hii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)