Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mtu mjinga ambaye anasema kile kinachomjia kichwani mwake kwa mfano “Ee Karimu, ee Mwenye kurehemu, ee Mola” wakati ambapo imamu yuko anasoma au anatamka katika hali ambazo hakuna Dhikr ndani yake kama katika hali ya kuinuka kutoka katika kikao cha mapumziko kwenda katika Rak´ah ya pili ambapo husema:
اللهم لك الحمد يا رحمان
“Ee Allaah! Himdi zote njema ni Zako, ee Mwenye kurehemu.”
Jibu: Wanayafanya mambo ambayo hayakuwekwa katika SHari´ah. Lakini swalah zao haziharibiki. Hawatamki maneno ya kawaida. Bali wanaomba du´aa.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 149
- Imechapishwa: 03/07/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mtu mjinga ambaye anasema kile kinachomjia kichwani mwake kwa mfano “Ee Karimu, ee Mwenye kurehemu, ee Mola” wakati ambapo imamu yuko anasoma au anatamka katika hali ambazo hakuna Dhikr ndani yake kama katika hali ya kuinuka kutoka katika kikao cha mapumziko kwenda katika Rak´ah ya pili ambapo husema:
اللهم لك الحمد يا رحمان
“Ee Allaah! Himdi zote njema ni Zako, ee Mwenye kurehemu.”
Jibu: Wanayafanya mambo ambayo hayakuwekwa katika SHari´ah. Lakini swalah zao haziharibiki. Hawatamki maneno ya kawaida. Bali wanaomba du´aa.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 149
Imechapishwa: 03/07/2022
https://firqatunnajia.com/112862-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)