Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaonelea kuwa makadirio na mipango ina daraja nne:
Ya kwanza: Elimu. Mwanaadamu anatakiwa kuyakinisha kuwa Allaah (Ta´ala) juu ya kila kitu ni mjuzi na kwamba anajua yote yaliyomo mbinguni na ardhini. Haijalishi kitu ikiwa inahusiana na matendo yake mwenyewe au matendo ya waja Wake. Mtu anatakiwa kutambua kuwa hakuna kitu mbinguni wala ardhini ambacho kinafichikana kwa Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Qadhwaa’ wal-Qadar, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (5/223)
- Imechapishwa: 25/10/2016
Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaonelea kuwa makadirio na mipango ina daraja nne:
Ya kwanza: Elimu. Mwanaadamu anatakiwa kuyakinisha kuwa Allaah (Ta´ala) juu ya kila kitu ni mjuzi na kwamba anajua yote yaliyomo mbinguni na ardhini. Haijalishi kitu ikiwa inahusiana na matendo yake mwenyewe au matendo ya waja Wake. Mtu anatakiwa kutambua kuwa hakuna kitu mbinguni wala ardhini ambacho kinafichikana kwa Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Qadhwaa’ wal-Qadar, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (5/223)
Imechapishwa: 25/10/2016
https://firqatunnajia.com/11-daraja-ya-kwanza-ya-makadirio-elimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)