Swali: Jambo la kuwafutarisha wafungaji hufanyika kwa wingi ndani ya Ramadhaan na khaswa wafanyakazi. Tatizo ni kwamba baadhi yao hawaswali au hawahudhurii swalah ya mkusanyiko licha ya kuwa msikiti uko karibu nao. Je, ni sahihi kuwafutarisha watu kama hawa?
Jibu: Kinachozingatiwa ni wale watu wengi wanaofutari. Ikiwa wengi wao ni wale wanaohifadhi swalah, basi hakutozingatiwa wale walio pamoja nao ambao hawahifadhi swalah. Jengine pia ni kwamba pengine katika kufanya hivo kukawafanya kutubia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://ar.islamway.net/fatwa/59323/
- Imechapishwa: 26/03/2022
Swali: Jambo la kuwafutarisha wafungaji hufanyika kwa wingi ndani ya Ramadhaan na khaswa wafanyakazi. Tatizo ni kwamba baadhi yao hawaswali au hawahudhurii swalah ya mkusanyiko licha ya kuwa msikiti uko karibu nao. Je, ni sahihi kuwafutarisha watu kama hawa?
Jibu: Kinachozingatiwa ni wale watu wengi wanaofutari. Ikiwa wengi wao ni wale wanaohifadhi swalah, basi hakutozingatiwa wale walio pamoja nao ambao hawahifadhi swalah. Jengine pia ni kwamba pengine katika kufanya hivo kukawafanya kutubia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://ar.islamway.net/fatwa/59323/
Imechapishwa: 26/03/2022
https://firqatunnajia.com/107710-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)