Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Hili litatambulika kwa kuijua misingi mitatu ambayo Allaah (Ta´ala) ameitaja katika Kitabu Chake:
MAELEZO
Misingi hiyo imechukuliwa kutoka ndani ya Qur-aan. Kupitia misingi hiyo anapambanuka muislamu kutokana na mshirikina.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 129
- Imechapishwa: 04/03/2023