Mwenye kutamka neno hili na huku akawa anajua maana yake, akitendea kazi muqtadha yake kukiwemo kupinga shirki na kumthibitishia Allaah umoja pamoja vilevile na kuyaamini hayo na kuyatendea kazi, basi huyo ndiye muislamu wa kweli.
Mwenye kulitamka na akatendea kazi muqtadha yake kwa uinje pasi na kuliamini ndani ya moyo wake, basi huyo ni mnafiki.
Mwenye kulitamka kwa ulimi wake na akatendea kazi shirki ambayo ndio kinyume chake na ambayo pia inapingana na yale yanayofahamishwa nalo, huyo ni kafiri. Haijalishi kitu ijapokuwa atalisema mara kwa mara na kwa kukariri. Hivo ndivyo ilivyo hali ya waabudu makaburi ambao wanalitamka neno hili na hawafahamu maana yake. Neno hili halina athari yoyote kwao katika kutengeneza mwenendo wao na kurekebisha matendo yao. Utawaona wanasema “hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah” na wakati huohuo wanasema:
“Niokoe, ee ´Abdul-Qaadir!”, “Niokoe, ee al-Badawiy”, “Niokoe, ee fulani na fulani!” Wanawakimbilia wafu na wanawaomba uokozi wakati wa majanga.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bayaan Haqiyqat-it-Tawhiyd, uk. 17
- Imechapishwa: 25/03/2019
Mwenye kutamka neno hili na huku akawa anajua maana yake, akitendea kazi muqtadha yake kukiwemo kupinga shirki na kumthibitishia Allaah umoja pamoja vilevile na kuyaamini hayo na kuyatendea kazi, basi huyo ndiye muislamu wa kweli.
Mwenye kulitamka na akatendea kazi muqtadha yake kwa uinje pasi na kuliamini ndani ya moyo wake, basi huyo ni mnafiki.
Mwenye kulitamka kwa ulimi wake na akatendea kazi shirki ambayo ndio kinyume chake na ambayo pia inapingana na yale yanayofahamishwa nalo, huyo ni kafiri. Haijalishi kitu ijapokuwa atalisema mara kwa mara na kwa kukariri. Hivo ndivyo ilivyo hali ya waabudu makaburi ambao wanalitamka neno hili na hawafahamu maana yake. Neno hili halina athari yoyote kwao katika kutengeneza mwenendo wao na kurekebisha matendo yao. Utawaona wanasema “hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah” na wakati huohuo wanasema:
“Niokoe, ee ´Abdul-Qaadir!”, “Niokoe, ee al-Badawiy”, “Niokoe, ee fulani na fulani!” Wanawakimbilia wafu na wanawaomba uokozi wakati wa majanga.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bayaan Haqiyqat-it-Tawhiyd, uk. 17
Imechapishwa: 25/03/2019
https://firqatunnajia.com/10-kutofoautiana-kwa-watu-inapokuja-katika-shahaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)