Swali 10: Uchotwaji wa damu nyingi unapelekea kumfunguza mfungaji?
Jibu: Uchotwaji wa damu nyingi ikiwa unapelekea katika yale yanayopelekea chuku katika kudhoofika kwa mwili na kuhitajia chakula basi hukumu yake ni kama ya kuumikwa. Ama ile damu inayomtoka mtu pasi na kutaka kwake, kwa mfano mtu akapatwa na jeraha na akavuja damu nyingi, ni kitu kisichodhuru. Kwa sababu ni pasi na kutaka kwa mtu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 15
- Imechapishwa: 12/04/2021
Swali 10: Uchotwaji wa damu nyingi unapelekea kumfunguza mfungaji?
Jibu: Uchotwaji wa damu nyingi ikiwa unapelekea katika yale yanayopelekea chuku katika kudhoofika kwa mwili na kuhitajia chakula basi hukumu yake ni kama ya kuumikwa. Ama ile damu inayomtoka mtu pasi na kutaka kwake, kwa mfano mtu akapatwa na jeraha na akavuja damu nyingi, ni kitu kisichodhuru. Kwa sababu ni pasi na kutaka kwa mtu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 15
Imechapishwa: 12/04/2021
https://firqatunnajia.com/10-katika-hali-hii-kuchotwa-damu-kuna-hukumu-moja-kama-kuumikwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)