Swali 11: Mtu akamilishe swalah ya Tarawiyh usiku wa kuamkia ´iyd?
Jibu: Ukithibiti mwezi mwandamo usiku wa tarehe thelathini Ramadhaan basi haitakiwi kuswali swalah ya Tarawiyh wala kisimamo cha usiku. Hilo ni kwa sababu swalah ya Tarawiyh na kisimamo cha usiku inakuwa katika Ramadhaan. Kukithibiti kumalizika kwa mwezi basi hakuswaliwi. Watu wataondoka misikitini kwenda majumbani mwao.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 15
- Imechapishwa: 12/04/2021
Swali 11: Mtu akamilishe swalah ya Tarawiyh usiku wa kuamkia ´iyd?
Jibu: Ukithibiti mwezi mwandamo usiku wa tarehe thelathini Ramadhaan basi haitakiwi kuswali swalah ya Tarawiyh wala kisimamo cha usiku. Hilo ni kwa sababu swalah ya Tarawiyh na kisimamo cha usiku inakuwa katika Ramadhaan. Kukithibiti kumalizika kwa mwezi basi hakuswaliwi. Watu wataondoka misikitini kwenda majumbani mwao.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 15
Imechapishwa: 12/04/2021
https://firqatunnajia.com/11-tarawiyh-usiku-wa-kuamkia-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)