24 – ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wabora wenu ni wale ambao mabega yao ni laini zaidi katika swalah…”[1]
25 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wabora wenu ni wale ambao mabega yao ni laini zaidi katika swalah.”[2]
[1] al-Bazzaar, Ibn Hibban na at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw”. Shaykh al-Albaaniy amesema:
”Ni nzuri kupitia zingine.” (Swahiyh-ut-Targhiyb (504) ).
[2] Abu Daawuud (672). Shaykh al-Albaaniy amesema:
”Ni Swahiyh kupitia zingine.” (Swahiyh-ut-Targhiyb (1/333) ).
al-Albaaniy ameisahihisha pia katika “Swahiyh Abu Daawuud” (624).
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ujuwb Taswiyat-is-Sufuuf
- Imechapishwa: 03/02/2025
24 – ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wabora wenu ni wale ambao mabega yao ni laini zaidi katika swalah…”[1]
25 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wabora wenu ni wale ambao mabega yao ni laini zaidi katika swalah.”[2]
[1] al-Bazzaar, Ibn Hibban na at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw”. Shaykh al-Albaaniy amesema:
”Ni nzuri kupitia zingine.” (Swahiyh-ut-Targhiyb (504) ).
[2] Abu Daawuud (672). Shaykh al-Albaaniy amesema:
”Ni Swahiyh kupitia zingine.” (Swahiyh-ut-Targhiyb (1/333) ).
al-Albaaniy ameisahihisha pia katika “Swahiyh Abu Daawuud” (624).
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ujuwb Taswiyat-is-Sufuuf
Imechapishwa: 03/02/2025
https://firqatunnajia.com/10-hadiyth-wabora-wenu-ni-wale-ambao-mabega-yao/