Miongoni mwa mambo yenye kumliwaza aliyepewa msiba ni kuona kuwa kila msiba unaomjia unatoka kwa Allaah na kwamba Yeye ndiye ameukadiria na kuupanga na kwamba Yeye (Subhaanah) hakuukadiria ili amwangamize mja au kumuadhibu. Amempa mtihani ili kumjaribu subira na ridhaa yake na ili aone kama atamlaumu na kumuomba. Akihidiwa katika hilo basi maamrisho ya Allaah ndio yatatokea. Ikiwa hatohidiwa katika hilo, basi ni khasara ya wazi wazi.
- Muhusika: Miongoni mwa mambo yenye kumliwaza aliyepewa msiba ni kuona kuwa kila msiba unaomjia unatoka kwa Allaah na kwamba Yeye ndiye ameukadiria na kuupanga na kwamba Yeye (Subhaanah) hakuukadiria ili amwangamize mja au kumuadhibu. Amempa mtihani ili kumjaribu subira na ridhaa yake na ili aone kama atamlaumu na kumuomba. Akihidiwa katika hilo basi maamrisho ya Allaah ndio yatatokea. Ikiwa hatohidiwa katika hilo, basi ni khasara ya wazi wazi.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 21
- Imechapishwa: 13/10/2016
Miongoni mwa mambo yenye kumliwaza aliyepewa msiba ni kuona kuwa kila msiba unaomjia unatoka kwa Allaah na kwamba Yeye ndiye ameukadiria na kuupanga na kwamba Yeye (Subhaanah) hakuukadiria ili amwangamize mja au kumuadhibu. Amempa mtihani ili kumjaribu subira na ridhaa yake na ili aone kama atamlaumu na kumuomba. Akihidiwa katika hilo basi maamrisho ya Allaah ndio yatatokea. Ikiwa hatohidiwa katika hilo, basi ni khasara ya wazi wazi.
Muhusika: Miongoni mwa mambo yenye kumliwaza aliyepewa msiba ni kuona kuwa kila msiba unaomjia unatoka kwa Allaah na kwamba Yeye ndiye ameukadiria na kuupanga na kwamba Yeye (Subhaanah) hakuukadiria ili amwangamize mja au kumuadhibu. Amempa mtihani ili kumjaribu subira na ridhaa yake na ili aone kama atamlaumu na kumuomba. Akihidiwa katika hilo basi maamrisho ya Allaah ndio yatatokea. Ikiwa hatohidiwa katika hilo, basi ni khasara ya wazi wazi.
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 21
Imechapishwa: 13/10/2016
https://firqatunnajia.com/10-allaah-hamjaribu-mja-wake-kwa-sababu-ya-kumwangamiza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)