Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Suala la tatu: Kuilingania.
MAELEZO
Bi maana kulingania katika elimu na matendo. Mbora wa watu ni yule aliyejua, akafanyia kazi na akawalingania wengine juu ya elimu na matendo. Amesema (´Azza wa Jall):
وَمَنْ أَحْسَنُ قَوْلًا مِّمَّن دَعَا إِلَى اللَّهِ وَعَمِلَ صَالِحًا وَقَالَ إِنَّنِي مِنَ الْمُسْلِمِينَ
“Na nani mwenye kauli nzuri zaidi kuliko yule anayelingania watu kwa Allaah na akatenda mema na akasema: “Hakika mimi ni miongoni mwa waislamu?”[1]
Kulingania kwa Allaah, kutendea kazi kwa Shari´ah ya Allaah na kunyenyekea na kujisalimisha na amri ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
[1] 41:33
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Twariyqal-Usuwl ilaa idhwaah-ith-Thalaat-il-Usuwl, uk. 24-25
- Imechapishwa: 22/11/2021
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Suala la tatu: Kuilingania.
MAELEZO
Bi maana kulingania katika elimu na matendo. Mbora wa watu ni yule aliyejua, akafanyia kazi na akawalingania wengine juu ya elimu na matendo. Amesema (´Azza wa Jall):
وَمَنْ أَحْسَنُ قَوْلًا مِّمَّن دَعَا إِلَى اللَّهِ وَعَمِلَ صَالِحًا وَقَالَ إِنَّنِي مِنَ الْمُسْلِمِينَ
“Na nani mwenye kauli nzuri zaidi kuliko yule anayelingania watu kwa Allaah na akatenda mema na akasema: “Hakika mimi ni miongoni mwa waislamu?”[1]
Kulingania kwa Allaah, kutendea kazi kwa Shari´ah ya Allaah na kunyenyekea na kujisalimisha na amri ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
[1] 41:33
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Twariyqal-Usuwl ilaa idhwaah-ith-Thalaat-il-Usuwl, uk. 24-25
Imechapishwa: 22/11/2021
https://firqatunnajia.com/09-kulingania-katika-elimu-na-matendo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)