Hadiyth hii inafahamisha kuwa hakuna nafasi ya kutumia hesabu katika kuthibitisha kuanza na kumalizika kwa mwezi. Shaykh-ul-Islam Ibn Taymiyyah na wengine wameeleza maafikiano ya Maswahabah juu ya hilo[1], kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefungamanisha hukumu na uonaji na si kwa hesabu. Isitoshe kuona kunaweza kufikiwa na kila mtu, mjinga na mjuzi, jambo ambalo ni rehema ya Allaah kwa waja wake na wepesi wake juu yao.
[1] Tazama ”al-Fataawaa” (25/207) na “Fath-ul-Baariy” (4/127).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Minhat-ul-´Allaam fiy Sharh Buluugh-il-Maraam (05/13)
- Imechapishwa: 30/01/2025
Hadiyth hii inafahamisha kuwa hakuna nafasi ya kutumia hesabu katika kuthibitisha kuanza na kumalizika kwa mwezi. Shaykh-ul-Islam Ibn Taymiyyah na wengine wameeleza maafikiano ya Maswahabah juu ya hilo[1], kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefungamanisha hukumu na uonaji na si kwa hesabu. Isitoshe kuona kunaweza kufikiwa na kila mtu, mjinga na mjuzi, jambo ambalo ni rehema ya Allaah kwa waja wake na wepesi wake juu yao.
[1] Tazama ”al-Fataawaa” (25/207) na “Fath-ul-Baariy” (4/127).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Minhat-ul-´Allaam fiy Sharh Buluugh-il-Maraam (05/13)
Imechapishwa: 30/01/2025
https://firqatunnajia.com/09-hesabu-hazina-nafasi-katika-shariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)