288 – Mmoja katika Maswahabah zake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa jina Abu Sahlah as-Saaib bin Khallaad amesimulia:
أن رجلاً أمَّ قوماً فبصق في القبلة، ورسول الله صلى الله عليه وسلم ينظر، فقال رسول الله صلى الله عليه وسلم حين فرغ: لا يصلى لكم هذا ، فأراد بعد ذلك أن يُصلى لهم فمنعوه وأخبروه بقول رسول الله صلى الله عليه وسلم، فذكر ذلك لرسول الله صلى الله عليه وسلم؟ فقال: نعم، وحسبتُ أنه قال: إنك آذيت الله ورسوله
“Bwana mmoja aliwaswalisha watu akatema mate kwenye Qiblah ambapo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamuona. Alipomaliza kuswali Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Asikuswalisheni huyu.” Baada ya tukio hilo akataka kuwaswalisha, wakamzuia na wakamweleza alivosema Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Baadaye Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaambiwa jambo hilo ambapo akasema: “Ndio.” Nadhania pia alisema kwamba: “Hakika wewe umemuudhi Allaah na Mtume Wake.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh kupitia zingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/235)
- Imechapishwa: 16/11/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
288 – Mmoja katika Maswahabah zake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa jina Abu Sahlah as-Saaib bin Khallaad amesimulia:
أن رجلاً أمَّ قوماً فبصق في القبلة، ورسول الله صلى الله عليه وسلم ينظر، فقال رسول الله صلى الله عليه وسلم حين فرغ: لا يصلى لكم هذا ، فأراد بعد ذلك أن يُصلى لهم فمنعوه وأخبروه بقول رسول الله صلى الله عليه وسلم، فذكر ذلك لرسول الله صلى الله عليه وسلم؟ فقال: نعم، وحسبتُ أنه قال: إنك آذيت الله ورسوله
“Bwana mmoja aliwaswalisha watu akatema mate kwenye Qiblah ambapo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamuona. Alipomaliza kuswali Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Asikuswalisheni huyu.” Baada ya tukio hilo akataka kuwaswalisha, wakamzuia na wakamweleza alivosema Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Baadaye Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaambiwa jambo hilo ambapo akasema: “Ndio.” Nadhania pia alisema kwamba: “Hakika wewe umemuudhi Allaah na Mtume Wake.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh kupitia zingine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/235)
Imechapishwa: 16/11/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/09-hadiyth-bwana-mmoja-aliwaswalisha-watu-akatema-mate-kwenye-qiblah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)