18 – Qabiyswah bin ´Uqbah ametuhadithia: Sufyaan ametuhadithia, kutoka kwa Suhayl bin Abiy Swaalih, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwana hawezi kuwalipa wazazi wake isipokuwa amkute ni mtumwa, akamnunua na kumwacha huru.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 117
- Imechapishwa: 29/12/2024
18 – Qabiyswah bin ´Uqbah ametuhadithia: Sufyaan ametuhadithia, kutoka kwa Suhayl bin Abiy Swaalih, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwana hawezi kuwalipa wazazi wake isipokuwa amkute ni mtumwa, akamnunua na kumwacha huru.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 117
Imechapishwa: 29/12/2024
https://firqatunnajia.com/08-njia-pekee-ya-kuwalipa-wema-wazazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)