19 – Musaddad ametuhadithia: Bishr bin al-Mufadhdhawl ametuhadithia: al-Jurayriy amenihadithia, kutoka kwa ´Abdur-Rahmaan bin Abiy Bakrah, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Nisikuelezeni madhambi makubwa kabisa?” Akakariri hivo mara tatu. Wakasema: ”Ndio, ee Mtume wa Allaah.” Akasema: ”Kumshirikisha Allaah na kuwaasi wazazi wawili.” Akaketi na alikuwa ameegemea na kusema: ”Ushahidi wa uwongo.” Akaendelea kuyakariri mpaka tukatamani laiti angenyamaza.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 118
- Imechapishwa: 29/12/2024
19 – Musaddad ametuhadithia: Bishr bin al-Mufadhdhawl ametuhadithia: al-Jurayriy amenihadithia, kutoka kwa ´Abdur-Rahmaan bin Abiy Bakrah, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Nisikuelezeni madhambi makubwa kabisa?” Akakariri hivo mara tatu. Wakasema: ”Ndio, ee Mtume wa Allaah.” Akasema: ”Kumshirikisha Allaah na kuwaasi wazazi wawili.” Akaketi na alikuwa ameegemea na kusema: ”Ushahidi wa uwongo.” Akaendelea kuyakariri mpaka tukatamani laiti angenyamaza.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 118
Imechapishwa: 29/12/2024
https://firqatunnajia.com/09-kuwaasi-wazazi-wawili-ni-katika-madhambi-makubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)