Swali 8: Ni lini alifariki babu yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ´Abdul-Muttwalib? Alitunzwa na nani baada ya hapo?

Swali: Babu yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ´Abdul-Muttwalib alikufa akiwa na umri wa miaka minane. Baada ya hapo akaangaliwa na ami yake Abu Twaalib. Alimwangalia vyema.

  • Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 93
  • Imechapishwa: 04/09/2023