Swali 08: Ni ipi hukumu ya kuzimia wakati wa kufunga?
Jibu: Kuzimia kumegawanyika sehemu mbili:
1- Ikiwa kuzimia ni kwa siku moja, nusu siku au mfano wa hayo. Kuzimia huku kuna hukumu moja kama kulala.
2- Ikiwa kuzimia ni kwa muda mrefu kama mwezi mmoja au miwili[1]. Mtu kama huyu ana hukumu moja kama mwendawazimu ambaye kalamu imenyanyuliwa kwake.
[1] Koma.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 23-24
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 08: Ni ipi hukumu ya kuzimia wakati wa kufunga?
Jibu: Kuzimia kumegawanyika sehemu mbili:
1- Ikiwa kuzimia ni kwa siku moja, nusu siku au mfano wa hayo. Kuzimia huku kuna hukumu moja kama kulala.
2- Ikiwa kuzimia ni kwa muda mrefu kama mwezi mmoja au miwili[1]. Mtu kama huyu ana hukumu moja kama mwendawazimu ambaye kalamu imenyanyuliwa kwake.
[1] Koma.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 23-24
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/08-ni-ipi-hukumu-ya-kuzimia-wakati-wa-kufunga/