Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Yeye ndiye alivunja picha za watu hawa wema.
MAELEZO
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivunja picha za masanamu siku ya kuteka Makkah. Alipoingia katika Ka´bah, kulikuwa pembezoni mwake na ndani yake masanamu 360. Akiyavunja (´alayhis-Swalaatu was-Salaam) kwa bakora yake na huku akisoma maneno Yake (Ta´ala):
وَقُلْ جَاءَ الْحَقُّ وَزَهَقَ الْبَاطِلُ ۚ إِنَّ الْبَاطِلَ كَانَ زَهُوقًا
“Na sema: “Haki imekuja na ubatilifu umetoweka. Hakika ubatilifu daima ni wenye kutoweka.” (17:81)
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Utaymiyn
- Tarjama: Fitqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 20
- Imechapishwa: 23/04/2022
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Yeye ndiye alivunja picha za watu hawa wema.
MAELEZO
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivunja picha za masanamu siku ya kuteka Makkah. Alipoingia katika Ka´bah, kulikuwa pembezoni mwake na ndani yake masanamu 360. Akiyavunja (´alayhis-Swalaatu was-Salaam) kwa bakora yake na huku akisoma maneno Yake (Ta´ala):
وَقُلْ جَاءَ الْحَقُّ وَزَهَقَ الْبَاطِلُ ۚ إِنَّ الْبَاطِلَ كَانَ زَهُوقًا
“Na sema: “Haki imekuja na ubatilifu umetoweka. Hakika ubatilifu daima ni wenye kutoweka.” (17:81)
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Utaymiyn
Tarjama: Fitqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 20
Imechapishwa: 23/04/2022
https://firqatunnajia.com/08-mlango-wa-01-muhammad-alivunja-picha-za-watu-wema/