Ndugu wapendwa! Kufika kwa Ramadhaan ni neema kubwa kwa yule iliyemfikia na akaitendea haki yake kwa kurejea kwa Mola Wake kwa kujiepusha na kumuasi na akamtii, kwa kutokupumbaa na akamtaja na kwa kutokujiweka mbali Naye na akamrejelea:
Ee ambaye dhambi hazikukutosheleza katika Rajab
mpaka akamuasi Mola Wake katika Sha´baan
Hakika umefunikwa na mwezi wa funga baada yake
hivyo usiufanye pia kuwa ni mwezi wa kuasi
Soma Qur-aan na utukuzwe kwayo hali ya kujitahidi
kwani ni mwezi wa kusabihi na Qur-aan
Ni wangapi ulikuwa unawajua miongoni mwa waliofunga hapo kitambo
kuanzia kwa jamaa, majirani na ndugu?
Kifo kimewamaliza na wakakuacha wewe baada yao
ukiwa hai – ni ukaribu ulioje wa aliye mbali kuliko aliye karibu?
Ee Allaah! Tunakuomba utuamshe kutoka katika upumbaaji, utuwafikishe kujifanyia akiba ya kukucha kabla ya kufa, uturuzuku kuchuma wakati wa kipindi cha kumalizika wakati, utusamehe sisi, wazazi wetu na waislamu wote kwa huruma Yako.
Swalah na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 11-12
- Imechapishwa: 07/04/2020
Ndugu wapendwa! Kufika kwa Ramadhaan ni neema kubwa kwa yule iliyemfikia na akaitendea haki yake kwa kurejea kwa Mola Wake kwa kujiepusha na kumuasi na akamtii, kwa kutokupumbaa na akamtaja na kwa kutokujiweka mbali Naye na akamrejelea:
Ee ambaye dhambi hazikukutosheleza katika Rajab
mpaka akamuasi Mola Wake katika Sha´baan
Hakika umefunikwa na mwezi wa funga baada yake
hivyo usiufanye pia kuwa ni mwezi wa kuasi
Soma Qur-aan na utukuzwe kwayo hali ya kujitahidi
kwani ni mwezi wa kusabihi na Qur-aan
Ni wangapi ulikuwa unawajua miongoni mwa waliofunga hapo kitambo
kuanzia kwa jamaa, majirani na ndugu?
Kifo kimewamaliza na wakakuacha wewe baada yao
ukiwa hai – ni ukaribu ulioje wa aliye mbali kuliko aliye karibu?
Ee Allaah! Tunakuomba utuamshe kutoka katika upumbaaji, utuwafikishe kujifanyia akiba ya kukucha kabla ya kufa, uturuzuku kuchuma wakati wa kipindi cha kumalizika wakati, utusamehe sisi, wazazi wetu na waislamu wote kwa huruma Yako.
Swalah na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 11-12
Imechapishwa: 07/04/2020
https://firqatunnajia.com/08-kufikiwa-na-ramadhaan-ni-neema-kubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)