Swali: Je, ni lazima kwa mzee ambaye amekwishapoteza fahamu na anasumbuliwa na kuganda kwa damu?
Jibu: Mzee aliyepoteza fahamu kwa sababu ya utuuzima na hahisi kitu si lazima kwake kufunga. Kwa sababu hawezi jambo hilo. Wala hatofungiwa wala kutolewa chakula.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 18
- Imechapishwa: 19/03/2022
Swali: Je, ni lazima kwa mzee ambaye amekwishapoteza fahamu na anasumbuliwa na kuganda kwa damu?
Jibu: Mzee aliyepoteza fahamu kwa sababu ya utuuzima na hahisi kitu si lazima kwake kufunga. Kwa sababu hawezi jambo hilo. Wala hatofungiwa wala kutolewa chakula.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 18
Imechapishwa: 19/03/2022
https://firqatunnajia.com/07-swawm-na-kupoteza-fahamu/