Swali 07: Je, inafaa kwa mgonjwa kuacha kufunga ikiwa swawm sio ngumu kwake wala haimdhuru?
Jibu: Mgonjwa anatakiwa kufunga ikiwa swawm sio ngumu kwake na wala haimuathiri.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 23
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 07: Je, inafaa kwa mgonjwa kuacha kufunga ikiwa swawm sio ngumu kwake wala haimdhuru?
Jibu: Mgonjwa anatakiwa kufunga ikiwa swawm sio ngumu kwake na wala haimuathiri.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 23
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/07-inafaa-kwa-mgonjwa-kuacha-kufunga-ikiwa-swawm-sio-nzito-kwake-wala-haimdhuru/