20 – Jaabir bin Samurah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu na kusema:
”Je, hampangi safu sawa zenu kama wanavyopanga safu sawa Malaika mbele ya Mola wao?” Tukasema: ”Ee Mtume wa Allaah, vipi Malaika wanavyopanga safu mbele ya Mola wao? Akasema: ”Wanazikamilisha safu za mbele na wanakaa sawa katika safu.”[1]
[1] Muslim (340) na Ibn Hibbaan (2159) kwa ukaguzi wa al-Albaaniy.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ujuwb Taswiyat-is-Sufuuf
- Imechapishwa: 22/01/2025
20 – Jaabir bin Samurah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu na kusema:
”Je, hampangi safu sawa zenu kama wanavyopanga safu sawa Malaika mbele ya Mola wao?” Tukasema: ”Ee Mtume wa Allaah, vipi Malaika wanavyopanga safu mbele ya Mola wao? Akasema: ”Wanazikamilisha safu za mbele na wanakaa sawa katika safu.”[1]
[1] Muslim (340) na Ibn Hibbaan (2159) kwa ukaguzi wa al-Albaaniy.
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ujuwb Taswiyat-is-Sufuuf
Imechapishwa: 22/01/2025
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-je-hampangi-safu-sawa-zenu-kama-wanavyopanga-safu-sawa-malaika-mbele-ya-mola-wao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)