19 – Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kamilisheni safu za mbele, kisha ile inayofuata. Na kile kilichopungua basi kiwe katika safu za nyuma.”[1]
[1] Abu Daawuud (671) na an-Nasaa’iy (817) kutoka “Swahiyh-us-Sunan.”
Ni Swahiyh kwa mujibu wa Muqbil al-Waadi’iy katika kitabu chake “al-Jamiy’-us-Swahiyh” (2/91) na al-Abaaniy katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (623) na katika “Ta´liyqaat al-Hisaan ´alaa Swahiyh Ibn Hibbaan” (4/44) nr. (2152).
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ujuwb Taswiyat-is-Sufuuf
- Imechapishwa: 22/01/2025
19 – Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kamilisheni safu za mbele, kisha ile inayofuata. Na kile kilichopungua basi kiwe katika safu za nyuma.”[1]
[1] Abu Daawuud (671) na an-Nasaa’iy (817) kutoka “Swahiyh-us-Sunan.”
Ni Swahiyh kwa mujibu wa Muqbil al-Waadi’iy katika kitabu chake “al-Jamiy’-us-Swahiyh” (2/91) na al-Abaaniy katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (623) na katika “Ta´liyqaat al-Hisaan ´alaa Swahiyh Ibn Hibbaan” (4/44) nr. (2152).
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ujuwb Taswiyat-is-Sufuuf
Imechapishwa: 22/01/2025
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-kamilisheni-safu-za-mbele-kisha-ile-inayofuata/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)