237 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´an) ameeleza ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
الإمام ضامنٌ والمؤذن مؤتمَن، اللهم أرشِد الأئمةَ واغْفِرْ للمؤذِّنين
“Imamu ni mdhamini[1] na muadhini ameaminiwa[2]. Ee Allaah! Waongoze maimamu na wasamehe waadhini.”[3]
Ameipokea Abu Daawuud na at-Tirmidhiy. Imekuja kwa Ibn Khuzaymah och Ibn Hibbaan:
“Allaah akawaongoza maimamu na akawasamehe waadhini.”[4]
Ibn Khuzaymah ana upokezi kama wa Abu Daawuud. Imekuja katika mwingine:
“Waadhini wameaminiwa na maimamu ni wadhamini. Ee Allaah! Wasamehe waadhini na watengeneza maimamu.”
Alisema hivo mara tatu.[5]
238 – Ameipokea pia Ahmad kupitia kwa Abu Umaamah kwa cheni ya wapokezi nzuri[6].
[1] Bi maana amepewa jukumu la swalah za waswaliji.
[2] Bi maana amepewa jukumu la nyakati za swalah.
[3] Swahiyh.
[4] Swahiyh.
[5] Swahiyh.
[6] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/214)
- Imechapishwa: 23/02/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
237 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´an) ameeleza ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
الإمام ضامنٌ والمؤذن مؤتمَن، اللهم أرشِد الأئمةَ واغْفِرْ للمؤذِّنين
“Imamu ni mdhamini[1] na muadhini ameaminiwa[2]. Ee Allaah! Waongoze maimamu na wasamehe waadhini.”[3]
Ameipokea Abu Daawuud na at-Tirmidhiy. Imekuja kwa Ibn Khuzaymah och Ibn Hibbaan:
“Allaah akawaongoza maimamu na akawasamehe waadhini.”[4]
Ibn Khuzaymah ana upokezi kama wa Abu Daawuud. Imekuja katika mwingine:
“Waadhini wameaminiwa na maimamu ni wadhamini. Ee Allaah! Wasamehe waadhini na watengeneza maimamu.”
Alisema hivo mara tatu.[5]
238 – Ameipokea pia Ahmad kupitia kwa Abu Umaamah kwa cheni ya wapokezi nzuri[6].
[1] Bi maana amepewa jukumu la swalah za waswaliji.
[2] Bi maana amepewa jukumu la nyakati za swalah.
[3] Swahiyh.
[4] Swahiyh.
[5] Swahiyh.
[6] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/214)
Imechapishwa: 23/02/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-imamu-ni-mdhamini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)