4 – Kuna aina nyingine ya watu matangamano yao na Ramadhaan ni kama wanavotangamana na miezi mingine yote. Ramadhaan inampitikia kama inavyompitikia miezi mingine yote. Kiasi cha kwamba, mpaka ule mwezi ambao imetajwa ndani ya Qur-aan kuwa ni kheri kuliko miezi elfu moja, inawapitikia watu wengi kama inavyowapitikia miezi mingine yote. Hii ni hasara mbaya, kughilibika kwa wazi na upotofu usiyomstahikia kumtokea muislamu. Kwa ajili hii muislamu anatakiwa kufanya vizuri kuupokea mwezi huu na kumpokea vizuri mgeni huu. Aiandae nafsi yake ili awe miongoni mwa watu wa mwezi huu kwa ukweli na kwa haki.
- Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Wa jaa´ Shahru Ramadhwaan, uk. 09-10
- Imechapishwa: 08/04/2022
4 – Kuna aina nyingine ya watu matangamano yao na Ramadhaan ni kama wanavotangamana na miezi mingine yote. Ramadhaan inampitikia kama inavyompitikia miezi mingine yote. Kiasi cha kwamba, mpaka ule mwezi ambao imetajwa ndani ya Qur-aan kuwa ni kheri kuliko miezi elfu moja, inawapitikia watu wengi kama inavyowapitikia miezi mingine yote. Hii ni hasara mbaya, kughilibika kwa wazi na upotofu usiyomstahikia kumtokea muislamu. Kwa ajili hii muislamu anatakiwa kufanya vizuri kuupokea mwezi huu na kumpokea vizuri mgeni huu. Aiandae nafsi yake ili awe miongoni mwa watu wa mwezi huu kwa ukweli na kwa haki.
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Wa jaa´ Shahru Ramadhwaan, uk. 09-10
Imechapishwa: 08/04/2022
https://firqatunnajia.com/07-aina-ya-nne-ya-watu-kuipokea-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)